habari za kitaifa
4 April 2024, 4:28 pm
Mwanaume akutwa amenyongwa na mwili wake kutupwa Katavi
Picha na Mtandao “Baada ya polisi kuuchukua Mwili wa Marehemu kikosi cha ulinzi na usalama kilirudi tena kufanya Misako ya Watu wanaokunywa Pombe Saa za Kazi“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mtu mmoja anaekadiriwa kuwa na Umri kati ya Miaka 40-45 amekutwa…
22 March 2024, 11:12 am
Katavi,watuhumiwa 14 wafikishwa Mahakamani akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi halmasha…
picha na Ben Gadau “watuhumiwa wote 14 wanashtakiwa na makosa 153 ikiwemo utakatishaji wa fedha, kuunda genge la uhalifu na kugushi malipo kwa njia ya mtandao kinyume na utaratibu“ Na Ben Gadau -Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
21 March 2024, 9:32 am
Umaskini watajwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa wanawake Katavi
“Jamii inapaswa kupewa elimu juu ya namna ya kumwinua mwanamke kiuchumi pamoja na kupinga ukatili wa kijinsia ili kuwepo na usawa wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke“ Na Rachel Ezekia-Katavi Umaskini umetajwa kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa…
30 March 2022, 1:16 pm
AJINYONGA BAADA YA KUMJERUHI MUMEWE
KATAVI. Mkazi wa kitongoji cha Kamlenga, Kijiji cha Sibwesa wilayani Tanganyika, Mande Emanuel (30) amejinyonga baada ya kumjeruhi mumewe, Dotto Enos (35) kwa kumkata mapanga. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ally Makame amedhibitisha…
25 October 2021, 6:32 pm
Marieta Mlozi Awafunda Wanawake Katavi
KATAVI Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya mpanda marieta mlozi amewataka wanaume kuacha tabia ya kuwakatiza wanawake kujishungulisha katika kazi mbalimbali za kujiingizia kipato. Akizungumza na mpanda radio fm Marieta ameeleza kuwa wanawake wengi wamekuwa wakipitia vitendo vya unyanyasaji kijinsia…
13 October 2021, 8:58 am
Mufti Mkuu Tanzania: Bakwata tafuteni hati
OKTOBA 6, 2021 KATAVI Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuberi amewataka makatibu wa misikiti yote Mkoani katavi kuhakikisha wanapata hati miliki za viwanja vyote vinavyomilikiwa na baraza la waislam Tanzania BAKWATA. Shekh mkuu wa Tanzania ameyasema hayo…