AFYA
4 April 2024, 3:54 pm
Wananchi Mkoani Katavi Wasisitizwa Kupima Ugonjwa wa Kifua Kikuu
Mratibu wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Bruno Cronely.picha na Samwel Mbugi “Mtu yoyote mwenye ugonjwa unaoweza kupelekea upungufu wa kinga za mwili, ni rahisi kupata kifua kikuu” Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa Manispaa…
21 March 2024, 10:55 am
Wananchi Katavi hawana elimu ya utunzaji wa kinywa, meno
Picha na Mtandao “Utafiti uliofanyika umegundua kuwa watoto wenye umri wa miaka sita hadi tisa ndio waathirika wakubwa“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na maadhimisho ya wiki ya afya ya kinywa…
15 March 2024, 6:01 pm
KATAVI, TMDA Yabaini Ongezeko la Ugonjwa wa Figo
“Kuna changamoto ya Ini na Figo kushindwa kufanya kazi, na Saratani kuongezeka katika Jamii Yanayosababishwa na matumizi mabaya ya dawa kwa baadhi ya Wananchi” Picha na Mtandao Na Samwel Mbugi-katavi Mamlaka ya dawa na vifaa tiba [TMDA] kutoka makao Makuu…
7 March 2024, 3:09 pm
MPANDA,Homa ya Ini Yaongezeka kwa Kasi
“Daktari wa Manispaa ya Mpanda Coronel Bruno amesema kuwa ongezeko la Ugonjwa huo inatokana na Wananchi kutokuzingatia kupima Afya kila mara ili kubaini.” Picha na Mtandao. Na Veronica Mabwile-katavi Baadhi ya Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba Serikali mkoani…
7 March 2024, 2:53 pm
Mpanda, Watoto Yatima na Mazingira Maalumu Waguswa na Msaada
“Matendo hayo ya huruma yamefanyika katika shule ya Msingi Nyerere na katika kituo cha kulelea Watoto yatima cha Yohana Paul wa pili Matumaini ya Watoto ambapo wamegawa mahitaji kama vile Madaftari , Mchele, na Juice” Picha na Lillian Vicent“ Na…
5 March 2024, 3:13 pm
Mfungwa atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka 13 Katavi
“Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amesema suala hilo lipo katika uchunguzi na hatua kali za kisheria zitachukuliwa huku wao kama serikali wamesikitishwa kutokea kwa tukio hilo” Na Gladness Richard-Katavi Binti mwenye umri wa miaka 13 mkazi wa kijiji…
20 February 2024, 5:24 pm
Wabeba taka Mpanda wameshindwa kazi?
Wananchi wamesema mtaa huo umekuwa na harufu kali ambayo imekuwa haivumiliki na wamekosa namna ya kufanya hivyo wanahifadhi kwenye mifuko kwa sababu taarifa za taka hizo wamelalamika kwa viongozi wao bila mafanikio yeyote. Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa kata ya…
12 February 2024, 9:00 am
Mama atupa kichanga kichakani Mpanda
Wananchi wa mtaa huo wameonesha kusikitishwa na tukio hilo huku wakiomba sheria ichukue mkondo wake” Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-Katavi Mtoto mchanga wa umri wa siku moja amekutwa ametupwa katika mtaa wa mlimani site kata ya Uwanja wa…
9 February 2024, 3:08 pm
Mpanda-Wananchi msitelekeze wagonjwa hospitali
Baadhi ya wagonjwa wanaofikishwa katika hospital Hutelekezwa na ndugu zao na kuleta mzigo kwa serikali.Picha na Mtandao Na Veronica Mabwile-Katavi. Wito umetolewa kwa wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kuacha taabia ya kuwatelekeza wagonjwa wakati wakupatiwa huduma za matibabu ili…
20 November 2021, 11:35 am
Huduma Mkoba Kuimarisha Zoezi la Chanjo ya Uviko 19
Serikali mkoani katavi imekuja na mpango harakishi na shirikishi wa kutoa huduma mkoba ya uviko19 ambavyo itawasaidia wananchi kupata chanjo hiyo popote pale walipo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkao wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ambapo ameeleza kuwa wamekuja na…