

19 June 2025, 10:25
Kumekuwa na changamoto ya wanyamapori wakali ambao wamekuwa wakisababisha madhara kwa jamii TAWA inatoa mbinu kukabiliana nao Na Samwel Mpogole Katika jitihada za kulinda maisha ya watu na mali zao, wananchi wametakiwa kuwa makini na kuchukua hatua za haraka kwa…
13 June 2025, 10:04 pm
Watanzania watakiwa kuiona sekta ya madini kama dira ya maendeleo na fursa za mabadiliko ya kiuchumi Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ametoa wito kwa Watanzania kuipa kipaumbele sekta ya madini, akiielezea kuwa ni mhimili mkubwa unaochochea ustawi wa…
13 June 2025, 8:22 pm
Na loveness josefu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (MB), anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya kufunga Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025) Taarifa hiyo imethibitishwa leo 13Jun…
12 June 2025, 9:00 pm
Picha ya waziri wa nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Sharif Ali Sharif. Picha na Vuai Juma “Ipo haja ya kuiunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya ajira za utotoni ili kuwapa watoto haki zao za kimsingi“ Na…
12 June 2025, 3:16 pm
Katika Maonesho ya Pili ya Madini ya Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025), Meneja wa TANESCO Mkoa wa Lindi, Bw.Theodory Hall amewataka wananchi kuachana na matumizi ya mkaa na kuni na badala yake kutumia vifaa vya umeme vya kisasa vya kupikia kama…
11 June 2025, 10:02 pm
Na Loveness JosephMkoa wa Lindi umeandika historia tena kwa kuzindua rasmi Maonesho ya Madini na Fursa za Kiuchumi 2025, tukio kubwa linalolenga kuhamasisha uwekezaji na kuibua fursa katika sekta ya madini kwa maendeleo ya kiuchumi ya mkoa na taifa kwa…
2 June 2025, 6:44 pm
Na Omary TIMU ya 34 ya Madaktari kutoka China wamewafanyia uchunguzi na kupatiwahuduma za afya watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto MayatimaMazizini.Akizungumza mara baada ya kuwapatia huduma watoto hao Kingozi waMadaktari wa timu ya 34 kutoka China Dkt Wei…
June 1, 2025, 11:20 am
Kanisa la Last Church of Tanzania limeendesha zoezi la kugawa misaada ya bidhaa muhimu kwa wahitaji wilayani Mbozi, likisisitiza kuwa huduma hiyo itaendelea kila mwezi. Na Anyisile Fredy Askofu wa Kanisa la Last Church of Tanzania, David Sichone, amesema utoaji…
30 May 2025, 6:09 pm
Kusini Unguja Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Unguja Mussa Haji Mussa amewaasa wananchi wa Wilaya ya Kusini kudumisha usafi katika maeneo yao ili kubadilisha haiba ya miji ya Wilaya hiyo.Ameyasema hayo wakati wa zoezi la usafi katika nyumba…
28 May 2025, 6:52 pm
Siku ya Hedhi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Mei, ni jukwaa la kimataifa linalotumika kuongeza uelewa kuhusu hedhi kama hali ya kawaida ya kibaiolojia. Na Adelinus Banenwa Lengo kuu la maadhimisho haya ni kuondoa unyanyapaa unaozunguka hedhi, kuhamasisha…