Uncategorized
26 March 2024, 12:42 pm
Walimu wakuu watoroka chama Katavi
“Ikiwa ni mara ya kwanza kwa mkutano mkuu wa walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi uliofanyika katika ukumbi wa manispaa huku ukiambatana na mafunzo ya uongozi na taaluma,huku ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘‘Tekeleza Mikakati Boresha Elimu…
22 March 2024, 2:24 pm
Zaidi ya Vitambulisho Elfu 64 vya NIDA Vyaletwa Mpanda
“Wananchi amesema vitambulisho hivyo vitawasaidia kwani vimewaondoa hofu ya kukosa huduma muhimu ambazo zinaambatana na vitambulisho vya taifa kama vile kufungua akaunti za Benk“ Picha na Samweli Mbugi Na Samweli Mbugi-katavi Wananchi wa kata ya Mwamkulu Wilaya ya Mpanda mkoani…
22 March 2024, 11:12 am
Katavi,watuhumiwa 14 wafikishwa Mahakamani akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi halmasha…
picha na Ben Gadau “watuhumiwa wote 14 wanashtakiwa na makosa 153 ikiwemo utakatishaji wa fedha, kuunda genge la uhalifu na kugushi malipo kwa njia ya mtandao kinyume na utaratibu“ Na Ben Gadau -Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
21 March 2024, 9:32 am
Umaskini watajwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa wanawake Katavi
“Jamii inapaswa kupewa elimu juu ya namna ya kumwinua mwanamke kiuchumi pamoja na kupinga ukatili wa kijinsia ili kuwepo na usawa wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke“ Na Rachel Ezekia-Katavi Umaskini umetajwa kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa…
15 March 2024, 3:18 pm
KATAVI,Waandishi Tumieni Kalamu kwa Weledi
“Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ili kuepusha sintofahamu kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025″. Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-katavi Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko…
7 March 2024, 3:09 pm
MPANDA,Homa ya Ini Yaongezeka kwa Kasi
“Daktari wa Manispaa ya Mpanda Coronel Bruno amesema kuwa ongezeko la Ugonjwa huo inatokana na Wananchi kutokuzingatia kupima Afya kila mara ili kubaini.” Picha na Mtandao. Na Veronica Mabwile-katavi Baadhi ya Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba Serikali mkoani…
7 March 2024, 2:31 pm
MPANDA, Madiwani Wahofia Bajeti Ya TARURA
“Madiwani Wa Halmashauri ya Manispaa Ya Mpanda Wameonyesha Kutoridhishwa Na Bajeti Hiyo Na Kumtaka Manager Wa Tarura Kwenda Kupitia Upya Na Kuiwasilisha Kwa Baraza Hilo Ifikapo Jumatatu ya tarehe 11 mwezi wa tatu mwaka huu” Picha na Deus Daud Na…
20 February 2024, 12:29 pm
Madawati 30,000 kunusuru wanafunzi kukaa chini Katavi
Picha na Deus Daud Mkoa wa Katavi unatarajia kutatua kero katika miundombinu ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maboma zaidi ya 500 ambayo kati yake 400 yako katika hatua za umaliziaji kimkoa kwa shule za Msingi na Sekondari na madawati 30,000…
9 February 2024, 3:08 pm
Mpanda-Wananchi msitelekeze wagonjwa hospitali
Baadhi ya wagonjwa wanaofikishwa katika hospital Hutelekezwa na ndugu zao na kuleta mzigo kwa serikali.Picha na Mtandao Na Veronica Mabwile-Katavi. Wito umetolewa kwa wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kuacha taabia ya kuwatelekeza wagonjwa wakati wakupatiwa huduma za matibabu ili…
9 February 2024, 2:41 pm
Sungusungu Mpanda wageuka vibaka
Na John Benjamin-Katavi Baadhi ya wananchi katika mtaa wa Airtel kata ya Uwanja wa Ndege halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia kuwepo kwa kundi ambalo limekuwa likijitambulisha kuwa ni ulinzi shirikishi ambalo limekuwa likifanya matukio ya kiharifu kama…