MAPATO
3 April 2024, 1:02 pm
Vijana Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi ili wajikwamue kiuchumi
picha na Mtandao “Ni muhimu vijana kushiriki katika kufanya kazi ili kusaidia kuondoa makundi ya kiharifu“ Na Veronika Mabwile -Katavi Imeelezwa kuwa uwepo wa baadhi ya vijana wasioshiriki katika shughuli za Kiuchumi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatokana kutokuelezwa…
16 February 2024, 11:58 pm
Baraza la madiwani Tanganyika lapitisha mapendekezo ya bajeti bil. 33
Picha na Festo Kinyogoto Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Hamad Mapengo amesema bajeti hiyo inakwenda kutatu changamoto mbalimbali huku nguvu kubwa ikiwa imeelekezwa katika sekata ya Elimu na Afya. Na Leah Kamala-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya…
9 February 2024, 2:29 pm
Wananchi Katavi watakiwa kuacha kuchukua mikopo umiza
Wananchi wamehimizwa kujenga tabia ya kuchukua mikopo katika taasisi za kifedha zinazozingatia sheria na miongozo ya serikali zikiwemo benki ili kuepuka usumbufu wa mikopo umiza. Na Veronica Mabwile-Katavi Imeelezwa kuwa Uwepo wa Elimu ndogo juu ya madhara ya tokanayo na…
20 November 2021, 1:06 pm
Maoni ya Wananchi juu ya Katazo kwa Madalali
Baadhi ya wananchi manispaa ya mpanda mkoani katavi wamekuwa na maoni tofauti juu ya katazo la madalali wa nyumba kupewa kodi ya mwezi mmoja. wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wameleza kufurahishwa kwa marufuku hiyo huku wengine wakionesha kutoridhishwa…
20 November 2021, 10:32 am
TRA Mpanda Yakusanya Mil. 371 kwa Mwezi
Mamlaka ya mapato wilaya ya mpanda Mkoani katavi imefanikiwa kukusanya shilingi milioni mia tatu sabini na moja kwa kipindi cha mwezi augusti sawa na asilimia themanini na tisa ya lengo lililopangwa. Kauli hiyo imetolewa na afisa kodi daraja la kwanza…