Mpanda FM

ELIMU

26 March 2024, 12:42 pm

Walimu wakuu watoroka chama Katavi

“Ikiwa  ni mara ya kwanza kwa  mkutano mkuu wa walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi uliofanyika katika ukumbi wa manispaa huku ukiambatana na mafunzo ya uongozi na taaluma,huku ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘‘Tekeleza Mikakati Boresha Elimu…

20 February 2024, 12:29 pm

Madawati 30,000 kunusuru wanafunzi kukaa chini Katavi

Picha na Deus Daud Mkoa wa Katavi unatarajia kutatua kero katika miundombinu ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maboma zaidi ya 500 ambayo kati yake 400 yako katika hatua za umaliziaji kimkoa kwa shule za Msingi na Sekondari na madawati 30,000…

20 November 2021, 1:13 pm

Mabalozi Wapewa Darasa na Ewura

Mwenyekiti wa baraza la ushauri watumiaji wa huduma za nishati na maji katika mkoa wa Katavi EWURA CCC Steven Kinyoto amewataka wenyeviti wa mitaa katika manispaa ya Mpanda kuwa mabalozi kwa kuelimisha jamii katika kupata haki zao kwa watumiaji wa…

20 November 2021, 11:45 am

Mkuu wa Mkoa Katavi Awaonya Viongozi Kuhusu Uhalifu

Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka viongozi wa serikali kutokuwa chanzo cha kukumbatia uharifu katika jamii.  Akizungumza na Mpanda Radio Fm amesema kumekuwa na tabia kwa  baadhi ya viongozi wa serikali kutumia nafasi zao za kazi kuwatetea waharifu…

20 November 2021, 10:52 am

Madereva Zingatieni Sheria za Barabarani

Madereva wa vyombo vya moto mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia sheria na taratibu zote za usalama barabarani. Wito huo umetolewa mapema leo na Sanjeti Jofrey Britoni wakati akizungumza na kituo hiki na kubainisha kumekuwa na madereva wanaovunja na kukaidi kufuata utaratibu…

19 November 2021, 12:33 pm

Elimu ya Uraia Itolewe

Wananchi wa wilaya  ya  mpanda mkoani katavi wameiomba serikali kupitia idara ya uhamiaji kutoa elimu ya uraia ili kuwajengea wananchi uelewa katika masuala ya uraia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na mpanda redio baadhi ya wananchi wamesema hawana elimu ya kutosha…

19 November 2021, 12:23 pm

Wazee Uwanja wa Ndege Waonya Vikundi Vya Uhalifu

Wazee wa kata ya uwanja wa Ndege  Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewashauri wazazi na walezi katika kata hiyo  kuwaeleza watoto juu ya madhara  yatokanayo  na kujihusisha na makundi ya kiuharifu Wakizungumza na kituo hiki  mara baada ya kikao na…

19 November 2021, 12:12 pm

Million 245 za Mkopo wa Asilimia Kumi Katavi

Zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini na tano zimetolewa  kwa wanawake vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanuafaika wa mkopo wa asilimia kumi kutoka manispa ya mpanda mkoani katavi. Akikabidhi mikopo hiyo katika ukumbi wa manispaa mkoani katavi…

19 November 2021, 10:58 am

Mpanda Hotel Kuimarisha Ulinzi

Wananchi wa mtaa wa mpanda hotel manispaa ya mpanda mkoani katavi wameuomba uongozi wa mtaa huo kuimarisha ulinzi na usalama ili kudhibiti changamoto itokanayo na vikundi vya uhalifu katika mtaa huo. Wakizungumza na mpanda fm kwa nyakati tofauti wananchi hao…