Mkoani FM

Mkoani fm Kilimo

17 September 2023, 4:47 pm

70% ya wakulima hulima kilimo cha mazoea Pemba-Utafiti

Imeelezwa kuwa wakulima kisiwani Pemba bado wanalima kilimo cha mazoea ambacho hawazingatii  maelekezo ya kitaalam juu ya kilimo jambo ambalo linapelekea kukosa mavuno mazuri hasa wale wanaolima kibiashara. Na Khadija Yussuf Wakulima kisiwani Pemba wametakiwa kuacha tabia ya kulima kimazoea…