Mkoani FM
MADAWA
28 September 2021, 10:28 am
Jeshi la Polisi mkoa wa Kusini Pemba wafanikiwa kukamata Kete 350 za dawa za kul…
Na Amina Ahmed Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba limefanikiwa kukamata jumla ya kete 350 za madawa ya kulevya aina ya heroini yaliyokuwa yakiuzwa kwa vijana wanaotumia na kuwashikilia watu wawili wakihusika na biashara hiyo haramu. Kamanda wa Polisi…