Mkoani FM

Elimu corona

9 October 2021, 8:14 am

Wizara ya afya watakiwa kutoa elimu ya chanjo vijijini

Kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa baadhi ya vijiji ni changamoto inayopelekea kushindwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa korona. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti wananchi  wa wilaya ya mkoani wamesema ni  vyema  wizara  ya  afya…