Mkoani FM
Elimu corona
9 October 2021, 8:14 am
Wizara ya afya watakiwa kutoa elimu ya chanjo vijijini
Kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa baadhi ya vijiji ni changamoto inayopelekea kushindwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa korona. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti wananchi wa wilaya ya mkoani wamesema ni vyema wizara ya afya…