

17 September 2023, 4:47 pm
Imeelezwa kuwa wakulima kisiwani Pemba bado wanalima kilimo cha mazoea ambacho hawazingatii maelekezo ya kitaalam juu ya kilimo jambo ambalo linapelekea kukosa mavuno mazuri hasa wale wanaolima kibiashara. Na Khadija Yussuf Wakulima kisiwani Pemba wametakiwa kuacha tabia ya kulima kimazoea…
17 August 2023, 8:17 am
17 March 2023, 2:44 pm
Na Amina Massoud Jabir Wakulima wa mpunga wa umwagiliaji bonde la Kindani na Machigini wilaya ya mkoani pemba wamepongeza juhudi zinazichokuliwa na kiongozi mwanamke katika kuwasimamia namna bora ya uzalisahji wa mazo yao. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi wakulima…