Elimu
28 November 2022, 7:50 am
Wahitimu kidato cha nne waaswa kujiendeleza kimasomo
WANAFUNZI waliomaliza mitihani ya kidato cha nne wametakiwa kujiwekea malengo ya kitaaluma maraa baada ya kumaliza elimu yoa ya lazima sambamba na kuwa na mashirikiano na wazazi wao ili kujanga jamii iliyo bora. Akizungmza na wazazi na wanafunzi katika ghafla…
3 February 2022, 10:52 am
Walimu watakiwa kuwa wabunifu kuongeza ufaulu.
Walimu wa skuli za msingi na sekondari wilaya ya Mkoani wametakiwa kuwa na ubunifu katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kawenye mitihani yao. Akizungumza mkuu wa wilaya ya mkoani Khatib Juma Mjaja katika kikao cha mikakati ya kujadili tathmini ya matokeo…
23 October 2021, 2:02 pm
Watahaniwa kidato cha 4 Mkanyageni Pemba watakiwa wasiwe wadanganyifu.
Na Khadija Ali Yussuf Watahiniwa kidato cha nne Skuli ya Mkanyageni Sekondari wametakiwa kuwa makini na kuacha udanganyifu wakati wa ufanyaji wa mitihani yao ya taifa. Ushauri huo umetolewa na Mwalimu Mkuu wa skuli hiyo Mbarouk Suleiman Abdallah wakati wa…