Mkoani FM

Elimu

28 November 2022, 7:50 am

Wahitimu kidato cha nne waaswa kujiendeleza kimasomo

WANAFUNZI waliomaliza mitihani ya kidato cha nne wametakiwa kujiwekea malengo ya kitaaluma maraa baada ya kumaliza elimu yoa ya lazima sambamba na kuwa na mashirikiano na wazazi wao ili kujanga jamii iliyo bora. Akizungmza na wazazi na wanafunzi katika ghafla…

3 February 2022, 10:52 am

Walimu watakiwa kuwa wabunifu kuongeza ufaulu.

Walimu wa skuli za msingi na sekondari wilaya ya Mkoani wametakiwa kuwa na ubunifu katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kawenye mitihani yao. Akizungumza mkuu wa wilaya ya mkoani Khatib Juma Mjaja katika kikao cha mikakati ya kujadili tathmini ya matokeo…