Micheweni FM
WAVUVI WAKIWA BAHARINI
28 September 2021, 6:36 pm
SMZ yaainisha mikakati kutekeleza kwa vitendo dhana ya uchumi wa buluu
NA MWIABA KOMBO. SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imejipanga kikamilifu kuhakikisha wanafanikiwa katika dhana ya uchumi wa buluu katika kuhamasisha matumizi zaidi na endelevu ya bahari kwa ajili ya upatikanaji wa ajira za kudumu. Akizungumza katika mkutano wa wadau kuhusu mapitio…