Mazingira FM
uhifadhi
3 December 2021, 7:11 am
TANAPA Bunda yadhamiria kuurejesha mlima balili katika asili yake.
Zaidi ya miche ya miti 5700 imepandwa katika eneo la safu za mlima Balili, Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara ili kuendelea kuhifadhi na kutunza mazingira. Akizungumza wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika eneo la Tanapa kanda ya magharibi…
18 May 2021, 5:42 pm
Wananchi wa kata ya Hunyari Bunda kulipwa kifutajasho
Serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imetenga zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kulipa kifuta jasho kwa wananchi waliofanyiwa uharibifu wa wanyamapori katika mashamba na makazi wanayoishi katika vijiji vitatu Mariwanda,Hunyari na Kihumbu vilivyopo Bunda Mkoani Mara…