Siasa
12 March 2024, 1:48 pm
Aneth Nyamuziga achangia mbao 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda
Mjumbe wa mkutano mkuu UWT, CCM taifa na mjumbe wa halmashauri kuu CCM wilaya ya Ngara Aneth Philemon Nyamziga amewapongeza wanawake wa CCM wilaya ya Bunda kwa kujitoa kukijenga chama na jumuiya ya wanawake bila kuchoka. Na Adelinus Banenwa Mjumbe…
8 March 2024, 12:41 pm
Wanawake watakiwa kuachana na mikopo umiza, kausha damu
Wito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa maarufu kama kausha damu badala yake wakakope kwenye taasisi zinazotambulika kisheria kama vile benki na halmashauri. Na Adelinus BanenwaWito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa…
28 November 2021, 8:00 am
Mtelela:-TAKUKURU ichunguzeni TARURA Bunda mjini
Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salum Mtelela ameelekeza TAKUKURU Wilaya ya Bunda kuichunguza TARURA Bunda Mjini kutokana na malalamiko mbalimbali ya utekelezaji usiyofaa wa miradi ya miundombinu ya Barabara ndani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda Maelekezo hayo ameyatoa kwenye…
3 July 2021, 3:33 pm
Baraza la umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Bunda
By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…
22 June 2021, 6:39 am
Mh Nassar: Akabidhiwa ofisi na Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupil…
By Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh Joshua Nassar Leo June 21, 2021 amekabidhiwa ofisi na Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Bunda Mwl Lydia Bupilipili ambaye amestaafu Akizungumza katika makabidhiano hayo Mh Nassar Amewataka wanabunda wote kuwa wamoja…
17 April 2021, 5:26 pm
Mh Waitara. Amtaka mkandarasi kufanya kazi usiku na mchana
MARA: APRILI 17, 2021 NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya M/S Beijing Construction Engineering Group Company Limited, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa wakati mradi wa upanuzi wa kiwanja cha ndege…
8 April 2021, 12:49 pm
Dc Bunda awapongeza wananchi kwa ushirikiano kipindi cha maombolezo
Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Mwalimu Lydia Bupilipili amewashukuru Wananchi wa wilaya Bunda kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wakati wa kipindi chote cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe…
2 April 2021, 5:27 pm
Billioni 1 kujenga makao makuu ya halmashauri.
Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imepokea kiasi cha pesa za KitanzaniaTsh. Billioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa makao makuu ya halmashauri hiyo. Taarifa ya kupokea pesa hizo imetolewa katika kikao cha baraza la madiwani kwenye kikao cha…
2 April 2021, 4:52 pm
Dallo- watumishi acheni kutumia neno mchakato
Katibu wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Bunda mkoani Mara Ramamdhani Dallo amewataka watumishi wa umma na wakuu wa idara halmasauri ya wilaya ya Bunda kuacha mara moja kutumia neno mchakato na badala yake wajielekeze katika kutekeleza miradi ya…
31 March 2021, 5:30 pm
Kiapo cha Dkt Mpango chaja na mabadiliko ya Baraza la Mawaziri
MAKAMU wa Rais mteule, Dkt Philip Mpango, ameapishwa leo Machi 31, katika ukumbi wa Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Akihutubia baada ya makamu wake kuapishwa, Rais Samia, ametangaza Baraza Lake Jipya la mawaziri ambalo amefanya mabadiliko kidogo, Katika baadhi ya wizara…