kilimo
15 March 2022, 5:27 pm
kutozingatia vipimo sahihi ndo changamoto ya upungufu wa Dawa kwa wakulima wa Pa…
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…
14 March 2022, 6:23 pm
Mwanri: kulima kwa mstari kutaongeza uzalishaji kwa wakulima wa Pamba
Balozi wa Pamba Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema mwitikio wa wakulima wa zao la Pamba Wilayani Bunda wa kulima kwa mstari umekuwa mkubwa tofauti na ilivyokuwa zamani ambapo wakulima walikuwa wanalima kwa kulusha mbegu Hayo ameyasema Leo 14 march 2022…
13 March 2022, 10:32 pm
Bunda: waliochukua viuatilifu bila kuwa wakulima wapewa siku Saba kuvirudisha
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri ametoa wiki Moja kwa watu wote waliochukua viuatilifu vya zao la Pamba bila kuwa na mashamba kuweza kujisalimisha kwa viongozi wa zao la Pamba ngazi ya kata na WilayaAmetoa agizo hilo Leo…
29 January 2022, 6:48 pm
Tembo waharibu Ekari 50 za mahindi na mtama
Takribani ekari 50 za mahindi na 10 za pamba kata ya bunda stoo halmashauri ya mji wa bunda zimeliwa na tembo usiku wa kuamkia tarehe 28 jan 2022 Hayo yamesemwa na Afisa kilimo wa kata ya Bunda stoo Mboji Shibole…
12 November 2021, 5:20 pm
Mbegu za pamba sasa wakulima kukopeshwa
Siku moja tangu utaratibu wa kugawa mbegu kwa wakulima kwa njia ya mkopo kuanza kwenye AMCOS ya Kunzugu mkulima mwezeshaji na katibu wa chama hicho cha ushirika amesema mbegu zote zimeisha kwa yale makampuni yaliyoleta fomu za kujaza wakulima wanaokopa…
10 November 2021, 8:58 pm
Bunda; Wakulima wa pamba waomba kukopeshwa pembejeo
Baadhi ya Wakulima wa zao la pamba kata ya Kunzugu Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali isimamie zoezi la usambazaji wa mbegu ya pamba kwa kuwakopesha wakulima kama ilivyokuwa msimu uliopita tofauti na utaratibu wa msimu huu unaowataka walipie…