Uncategorized
15 June 2023, 11:21 am
Bunda: Nyamakokoto yapiga marufuku wenye nyumba kupangisha bila barua ya utambul…
Diwani wa kata ya Nyamakokoto Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe EMANUEL MALIBWA amepiga marufuku kwa wenye nyumba kuwapangisha watu bila kuwa na uthibitisho wa barua alikotoka. Akizungumza katika kikako cha hadhara mtaa wa barabara ya Ukerewe halmashauri ya Mji…
9 June 2023, 7:43 am
Zitto: Bei ya pamba iendane na gharama za uzalishaji
Kufuatia kilio cha wakulima wa zao la pamba nchini hususani katika bei ya pamba, chama cha ACT-Wazalendo kimewaelekeza wachambuzi wake kuangalia iwapo bei hiyo inaweza kusaidia mkulima kurejesha gharama zake alizozitumia katika kilimo. Hayo yamebainishwa na kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto…
7 June 2023, 2:12 pm
Zito Kabwe kuunguruma Musoma
Chama cha ACT Wazalendo kesho tarehe 8 Juni 2023 kitafanya mkutano mkubwa wa siasa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Hii ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake tangu ilivyozindua mikutano hiyo mwezi Februari 2023…
7 June 2023, 12:32 pm
Bunda: Wakazi kata Manyamanyama wanufaika mabomba ya maji
Diwani wa kata ya Manyamanyama Mhe Mathayo Machilu amekabidhi mabomba ya maji yenye urefu wa mita 950 eneo la kisiwani Mtaa wa Mbugani kata ya Manyamanyama. Akizungumza katika kikao hicho cha kukabidhi mabomba hayo Mhe Machilu amesema kama alivyoahidi katika…
20 May 2023, 5:29 pm
Changamoto ya kukosa huduma ya afya yawaibua wakazi wa mtaa wa Mine-Bunda
Wananchi wa mtaa wa Mine kata ya Kabasa halmashauri ya jji wa Bunda mkoani Mara wameungana pamoja katika shughuli ya maendeleo kwa kujenga zahati ili kuondokana na changamoto ya huduma ya afya katika eneo hilo. Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi…
12 May 2023, 8:03 am
Ahukumiwa Jela Maisha kwa kosa la kumbaka mtoto wa Miaka 7
Mahakani wilayani Bunda imemuhukumu kifungo Cha Maisha Jela Melkiadi Mgaya,umri 22years, mkulima,mkazi wa mtaa wa Balili Bunda kwa kosa la kumbaka mtoto wa Miaka 7 kwa nyakati tofauti. Kesi hiyo namba 238/2022 ya Kubaka, imetolewa hukumu May 10, 2023 Inaelezwa…
11 May 2023, 6:40 pm
Bei ya pamba msimu wa 2022/2023 hadharani
Wakulima wa zao la pamba watauza pamba yao kwa bei ya ukomo isiyopungua 1060 kwa msimu wa mwaka 2022 na 2023. Hayo yamesema wa makaguzi wa zao la pamba wilayani Bunda Hemedi Kabea alipozungumza na Mazingira Fm iliyofika ofisini kwake…
5 May 2023, 10:31 am
Mitaro ya Maji kuongeza ulinzi wa Barabara
Wakazi wa kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wametakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa kuhakikisha mitaro iko safi ili maji yaendelea kupita vizuri pasipo kuharibu barabara. Wito huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo, Mh Magigi…
3 May 2023, 8:43 am
Mtoto wa mwaka Mmoja na Nusu apoteza maisha kwa kutumbukia kisimani
Mtoto mmoja Slavic anayekadiriwa kuwa na umri wa mwaka Mmoja na Nusu Mkazi wa Mtaa wa idara ya Maji kata ya Bunda stoo amepoteza maisha kwa kutumbukia kwenye kisima Cha Maji nyumban kwao. Tukio hilo limetokea leo asubuhi 2 May…
30 April 2023, 10:17 am
Uwepo wa Sheria ya Ukeketaji itamaliza Ukatili huo Nchini.
Uwepo wa Sheria Mahususi inayopinga vitendo vya Ukeketaji Nchini Tanzania itasaidia kutokomoza Ukatili huu kwenye Jamii zilizoathirika na huo utamaduni3 Hayo yamesemwa na wadau wa kupinga Ukeketaji Nchini Tanzania katika mafunzo kwa waandishi wa habari ambapo lengo kuu la Mafunzo…