Mazingira FM

CCM Bunda yawanoa makatibu wa uenezi kata

10 May 2023, 11:16 am

Chama cha mapinduzi CCM wiayani Bunda kimewataka makatibu wa siasa na uenezi kuzingatia itifaki katika Kutekeleza majukumu yao

hayo yamebainishwa vkatika semina elekezi ya kuwajengea uwezo makatibu hao wa siasa na uenezi ngazi ya kata kutoka kata 33 za wilaya ya bunda
akizungumza na mazingira fm katibu wa siasa na uenezi ccm wilaya ya bunda ndugu gasper petro charles ambaye ndiye aliyeandaa semina hiyo amesema lengo kuu ni kuwajengea uwezo viongozi hao hasa ikizingatiwa uchaguzi umefanyika mwaka jana hivyo wengi wao wanakumbushwa majukumu yao

Gasper Charles

kwa upande wao baadhi ya washiriki wamepongeza hatua hiyo ya kupewa semina maana zipo changamoto zilizokuwa zinawakabili kama upande wa itifaki lakini pia nani anapaswa kupeperurusha bendera ya chama

Waenezi

naye magoti emanuel magoti miongoni mwa wakufunzi waseminishaji amesema chama cha mapinduzi kinaongozwa kwa kanuni hivyo semina ya leo itawasaidia viongozi hao kujua namna ya kufanya kazi zao ikiwemo kujua masuala ya itifaki katika chama

Magoti Emanuel