Loliondo FM

COVID 19

8 November 2021, 2:37 pm

Ngorongoro yakubali Chanjo ya Uviko-19.

Na EDWARD SHAO Utoaji wa chanjo ya Uviko-19 wafikia asilimia 31 wilayani Ngorongoro tangu chanjo hiyo izinduliwe rasmi Agosti 3 2021 na mkuu wa wilaya Mh. Mwl Raymond Stephen Mwangwala. Akizungumza katika kikao cha kujenga uelewa juu ya Ugonjwa huo…