Loliondo FM
COVID 19
8 November 2021, 2:37 pm
Ngorongoro yakubali Chanjo ya Uviko-19.
Na EDWARD SHAO Utoaji wa chanjo ya Uviko-19 wafikia asilimia 31 wilayani Ngorongoro tangu chanjo hiyo izinduliwe rasmi Agosti 3 2021 na mkuu wa wilaya Mh. Mwl Raymond Stephen Mwangwala. Akizungumza katika kikao cha kujenga uelewa juu ya Ugonjwa huo…