Karagwe FM

karagwe fm

29 January 2022, 10:01 pm

Halmashauri ya Missenyi yatoa mkopo shilingi Milioni 294.8

Halmashauri ya Wilaya Missenyi imetoa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya shilingi milioni 294.8 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu Katika tukio lakukabidhi mikopo hiyo kwa vikundi 50 vya wajasiriamali, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Projestus Tegamaisho amesema…

24 January 2022, 9:46 pm

Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo

Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…

CWT Missenyi

16 December 2021, 3:22 pm

CWT Kagera, jiungeni na Benki ya Walimu

Katibu wa chama cha Walimu Tanzania CWT Mkoa Kagera Tinda Paulini amewaasa viongozi wa chama hicho wilayani Missenyi mkoani Kagera kuwekeza katika Benki ya Walimu ili kuondokana na mikopo kandamizi inayotolewa na baadhi ya taasisi za kifedha Akifunga mafunzo kwa…

5 May 2021, 2:40 pm

Bilakwate: Gongo iruhusiwe Kagera

Mbunge wa jimbo la Kyerwa mkoani Kagera Innocent Bilakwate ameiomba serikali kuruhusu pombe ya moshi au Gongo inayotokana na ndizi kali maarufu kama “ENKONYAGI au KARIINYA” akidai kuwa pombe hiyo ni halali kwa sababu inatokana na ndizi ambazo ni chakula…

4 May 2021, 11:09 am

Shilingi milioni 626 kukarabati shule wilayani Karagwe

Halmashauri ya wilaya Karagwe imepokea shilingi milioni 626 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa miundombinu katika baadhi ya shule za msingi na Sekondari wilayani Karagwe mkoani Kagera. Taarifa hiyo imetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Karagwe Wallace…

1 May 2021, 7:09 pm

Chanzo cha maji Katoke hatarini kutoweka

Chanzo cha maji cha Katoke kilichopo katika kitongoji cha Ruzinga kata ya Bugene wilayani Karagwe,kipo hatarini kutoweka kutokana na baadhi ya wafugaji wa ng`ombe kukigeuza kuwa eneo la kunyweshea mifugo yao. Wakazi wa kitongoji hicho wameieleza Radio Karagwe Sauti ya…

28 April 2021, 2:40 pm

Bilioni 82 zatengwa kwa ajili ya miradi.

Manispaa ya Mji wa Bukoba imetenga jumla ya shilingi bilioni 82 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali itakayosaidia kukuza uchumi na kuleta maendeleo ya wananchi. Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba Godson Rwegasila Gypson ambaye pia ni…

28 April 2021, 1:49 pm

Madereva walia na ubovu wa stendi.

Madereva wa Tax katika stendi ya Kayanga wilaya ya Karagwe Mkoa Kagera wameiomba serikali wilayani humo kufanya marekebisho ya stendi kutokana na stendi hiyo kujaa maji na tope wakati wa masika. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Karagwe bwana Wallece Mashanda…