Karagwe FM

karagwe-Fm

11 March 2022, 8:55 am

Wakuu wa Idara wakalia kuti kavu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro kuwachukulia hatua  za kiutumishi wakuu wa Idara wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero waliohusika na ukiukwaji wa…

23 November 2021, 6:32 pm

Jeshi la Akiba laomba kupewa kipaumbele.

Wahitimu wa Mafunzo ya awali ya Jeshi la akiba Wilaya Missenyi Mkoani Kagera wameiomba serikali kuwatafutia ajira kwa kuwapa kipaumbele katika nafasi za kazi ya Ulinzi zinazotangazwa serikalini na katika taasisi binafsi Katika Risala ya wahitimu iliyosomwa na MG Renatus…

CWT Missenyi

9 November 2021, 11:52 am

200 wapewa mbinu ili kutimiza ndoto zao.

Imeelezwa kuwa suala la vijana kutumiwa na baadhi ya vikundi vya watu kuanzisha vurugu mbalimbali inaweza kuwa chanzo kikubwa cha kuhatarisha amani ya nchi na kuharibu ndoto za vijana kufikia malengo yao. Akizungumuza novemba 7 mwaka huu wakati wa kufunga…

6 November 2021, 11:35 am

Kitendawili kizito chateguliwa Bushenya!

Wananchi wanaoishi katika msitu wa Bushenya kata ya Nsunga wilaya ya Missenyi wametakiwa kuhama katika maeneo hayo kabla ya serikali kuanza operesheni ya kuwaondoa. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya Misenyi Kanali Wilson Sakulo kupitia kikao cha Baraza la…

Makinda

31 August 2021, 11:10 am

Sensa ya majaribio kufanyika Sept 11,2021

Wakazi wa Kijiji cha Mutukula kilichoko Missenyi Mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano ili kufanikisha sensa ya majaribio itakayofanyika tarehe 11 Septemba 2021 Akihamasisha Wananchi kushiriki zoezi la majaribio ya sensa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mutukula kilichoko…

2 August 2021, 9:34 am

Mtendaji wa kijiji atumbuliwa na Madiwani

Baraza la madiwani wilaya ya Karagwe mkoani Kagera limemfukuza kazi mtendaji wa kijiji cha Omkakajinja kata ya Rugela kwa tuhuma za kuuza Ardhi ya kijiji hekari 30. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe na Diwani kata ya Nyaishozi, Mhe. Wallace…

26 May 2021, 8:05 pm

Wapewa mbinu mpya ili kupata Utajiri.

Wanawake wilayani Karagwe wametakiwa kujikumbusha mbinu za masoko ili kuanzisha,kudumisha na kukuza biashara katika ngazi za kikanda na kimataifa. Ameyasema hayo Mke wa Mbunge wa jimbo la Karagwe ambaye ni mkurugenzi wa Alaska Jamii Bi Jeniffar Bashungwa wakati akiongea na…