

4 September 2023, 1:02 pm
Na Ospicia Didace Karagwe Mkurugenzi wa idara ya mashirika ya kipapa ya kimisionari ametoa msaada wa vyakula, nguo na vifaa vya kujifunzia vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tatu kwa wanafunzi wa shule msingi Mwoleka Mseto iliyoko Chabalisa katika…
3 September 2023, 5:42 pm
Asilimia kubwa ya watoto katika vitongoji 3 vya kashasha,mjunju na Bweranyange katika kata ya Bweranyange wilayani Karagwe wanashindwa kuendelea na masomo yao kutokana shule kuwa mbali jambo lililowafanya wananchi wa vitongoji hivyo kuanza ujenzi wa shule shikizi ili kuwanusuru watoto…
4 July 2023, 11:18 am
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser akiwa katika shule ya msingi Kambarage iliyopata fedha za mradi wa boost: Picha na Eliud Henry Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa vyumba vya madarasa chini…
2 August 2022, 3:08 pm
Jumla ya watu 409 waliopita kwenye usaili wa kusimamia zoezi la sensa ambao ni makarani,wasimamizi wa maudhui na TEHAMA wameanza kupigwa msasa kwa kupewa mafunzo juu ya ukusanyaji sahihi wa takwimu za watu na makazi wakati wa sensa itakayofanyika tarehe…