Kahama FM
usalama barabarani
January 5, 2022, 11:49 am
POLISI KAHAMA: Watembea kwa Miguu acheni Madoido kwenye vivuko vya Pundamilia.
Jeshi la polisi kitengo cha usalama Barabarani Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga limewataka watembea kwa miguu kuheshimu alama za barabarani wakati wa kuvuka hasa eneo la pundamilia na kuacha tabia ya kutembea kwa mizaha eneo hilo. Wito huo umetolewa leo…