Kahama FM
ukimwi
September 28, 2021, 11:59 am
RUKWA:Mbunge awataka wanawake kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wasi…
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jaqueline Msongozi amewataka wanawake nchini kutokubali kuwa na mahusiano ya kingono na wanaume ambao hawajafanyiwa tohara ili kuondoa hatari ya kupata magonjwa. Ameyasema hayo leo Septemba 27,2021 wakati Kamati ya Bunge ya Masuala…