Kahama FM
TARURA
September 1, 2021, 12:32 pm
KAHAMA:DC awashukia TARURA ubovu wa barabara ya kusafirisha Mchele.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Festo Kiswaga amemwaagiza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA kuzungukia barabara zote zilizo chini yao za mitaa na vijiji ili kubaini maeneo yenye ubovu wa barabara na kuyafanyia marekebisho. Kiswaga ametoa agizo hilo…