Kahama FM

tanzania nertworks alliance

June 28, 2023, 2:46 pm

NAOT yawanoa wanahabari Shinyanga

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (National Audit Office of Tanzania – NAOT) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club – SPC) ambapo waandishi wa habari wamejengewa uwezo kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo nafasi ya vyombo vya…

May 25, 2022, 10:55 am

MWANAMKE AUAWA KWA KUCHOMWA KISU GESTI MJINI KAHAMA

  Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Zuena au Ashura Salum (25-30) mkazi wa Dar es Salaam, amekutwa chumbani akiwa ameuawa kwa kuchomwa kisu  na mtu anayedhaniwa kuwa ni mwenza wake katika nyumba ya kulala wageni ya Kalunde iliyoko mjini Kahama,…