Kahama FM
sekondari
September 20, 2021, 4:30 pm
KAHAMA:Wananchi wa Kata ya Malunga waanza ujenzi wa Shule ya Sekondari.
Wananchi wa Kata ya Malunga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameanza zoezi la ujenzi wa shule ya Sekondari Malunga ili kusaidia wanafunzi kuondokana na changamoto ya kutembea umbali mrefu. Wakizungumza na Kahama fm baadhi ya wananchi hao wamesema baada ya…