Kahama FM
pamba
August 17, 2021, 4:16 pm
KAHAMA:Wakulima wa pamba waomba kupatiwa Elimu ya Kilimo Hai.
KAHAMA Wakulima wa zao la Pamba wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba kampuni ya utengenezaji wa nyuzi New Tabora Textile kuwapa elimu ya uzalishaji wa pamba usiotumia Dawa na mbolea nyingi katika uzalishaji(Kilimo hai) Ombi hili limetolewa na wakulima wa Pamba…