Kahama FM
ndoa
July 15, 2021, 8:41 am
Wahitimu vyuo vikuu walazimika kuolewa kutokana na kukosa ajira mtaani.
Wanawake waliohitimu vyuo vikuu nchini wamesema wanalazimika kuingia kwenye ndoa ili kujikwamua na ugumu wa maisha wanapofika mtaani baada ya kukosekana kwa ajira licha ya kuwa na elimu ya juu. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wadau mjini Njombe wakati wakitoa…