Kahama FM
MOTO
July 15, 2021, 12:00 pm
SHULE YA SEKONDARI GEITA YAFUNGWA BAADA YA KUUNGUA MOTO MARA YA TATU.
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule ameifunga Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) kwa muda wa wiki mbili baada ya moto kuwaka katika bweni la wavulana usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2021. Kutokana na uamuzi huo, wanafunzi…