MAUAJI
October 24, 2021, 10:55 am
SIMIYU:Mama adaiwa kuwachinja watoto wake wawili kisha naye kujiua.
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoani Simiyu amedaiwa kuwaua watoto wake wawili kwa kuwachinja na kisu, kisha na yeye kujiua. Akizungumza leo Ijumaa Oktoba 22,2021 na waandishi wa Habari ofisini kwake, Kamanda…
September 28, 2021, 11:14 am
Kahama:Mwanamke aliyejulikana kwa jina la LIMI KULWA (30) ameuawa kwa kukatwa na…
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la LIMI KULWA (30) mkazi wa kijiji cha Ilunga kata ya Iyenze wilayani Kahama amefariki dunia baada ya kukatwa na panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake, huku Chanzo cha mauaji hayo kikitajwa kuwa…
September 13, 2021, 11:14 am
KAHAMA: MLINZI AUAWA KWA KUCHOMWA NA KISU GUEST.
Mlinzi Kampuni ya Ulinzi ya Mast Holding aitwaye STEVEN FELICIAN SAMANDARI (25) ameuawa kwa kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyekuwa amemkamata baada ya kuruka uzio akifuatilia wahudumu wa Bar kwa ajili ya mapenzi Mjini Kahama. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa…
September 11, 2021, 4:32 pm
Mwanamke auawa akituhumiwa kuwa mchawi.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga George Kyando Mwanamke aliyejulikana kwa jina la MWALU CHARLES (45) mkazi wa kijiji cha Shilabela kata ya Ulewe wilayani Kahama mkoani Shinyanga amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali huku…