Kahama FM
lukuvi
July 8, 2021, 8:24 am
Maafisa ardhi watakaomilikisha kiwanja kimoja mara mbili kuchukuliwa hatua.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema watumishi wa sekta ya ardhi watakaohusika kwa namna moja ama nyingine kumilikisha kiwanja kimoja mara mbili (Double allocation) watachukuliwa hatua kali. Alizungumza mara baada ya kukagua shughuli za utendaji…