Kahama FM
kiswaga
November 9, 2021, 9:50 am
KAHAMA:Dc amsimamisha kazi Mwenyekiti wa kijiji aliyekataliwa na wananchi.
Wakazi wa kijiji cha Butondolo kata ya Isaka jana, halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho, Mange Shilinde baada ya kubatilisha na kuhamisha ujenzi wa zahanati ya kijiji katika kitongoji cha Seseko bila idhini yao, pamoja na…