ELIMU
December 16, 2021, 12:50 pm
Kahama: Serikali wilayani Kahama imekabidhiwa Madarasa 247 yenye thamani ya shil…
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imekabidhiwa Madarasa 247 yenye thamani ya shilingi Bilioni 5.6 yaliojengwa kwa fedha za fedha za Uviko 19. Akikabidhiwa madarasa hayo leo Mkuu wa wilaya ya Kahama FESTO KISWAGA na wakurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya…
December 9, 2021, 4:20 pm
KAHAMA:Wanafunzi wakike shule ya sekondari Mapamba waiomba serikali iwapelekee…
Wanafunzi wakike katika shule ya sekondari Mapamba Halmashuri ya ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali iwapelekee walimu wakike ili waweze kuhudumia pindi wanapohitaji msaada maalum katika masuala ya wanawake. Hayo yamesemwa na wanafunzi wa shule ya sekondari mapamba katika…
March 24, 2021, 10:51 am
TADIO yazitaka Redio za kijamii kuchangamkia nguvu ya Teknolojia.
Radio za kijamii nchini zimetakiwa kutumia tovuti ya kurusha matangazo mubashara ya TADIO kuibua na kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao ikiwa ni Pamoja na kutanua wigo wa masoko katika kukuza kipato cha radio hizo. Wito huo umetolewa leo…