Kahama FM

BARABARA

September 2, 2021, 10:52 am

DC Kahama atoa siku kumi na nne kwa TARURA.

Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetoa Siku 14 kwa meneja wa wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA kufanya tathmini katika barabara za mitaa zilizopo katika manspaa ya Kahama ili ziweze kufanyiwa marekebisho. Agizo hilo limetolewa  leo na Mkuu…