BARABARA
September 2, 2021, 10:52 am
DC Kahama atoa siku kumi na nne kwa TARURA.
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetoa Siku 14 kwa meneja wa wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA kufanya tathmini katika barabara za mitaa zilizopo katika manspaa ya Kahama ili ziweze kufanyiwa marekebisho. Agizo hilo limetolewa leo na Mkuu…
August 30, 2021, 12:34 pm
Kero ya barabara halmashauri ya Msalala yasababisha uwepo wa ajali nyingi.
Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kurekebisha miundombinu ya barabara ya Kahama hadi Kakola. Madiwani hao wameleeza hayo katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya nne, wakati wa kipindi cha maswali ya papo…
June 8, 2021, 5:40 pm
Watumiaji wa barabara watakiwa kuzingatia sheria na kanuni za barabarani Kahama.
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga limesema licha ya uchache walionao wanajitahidi kutoa elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kuepusha ajali zinazotokea za mara kwa mara. Akizungumza na KAHAMA FM mkuu wa…