Kahama FM
AFYA
August 30, 2021, 12:41 pm
Madiwani wa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama waomba serikali kutatua chang…
Madiwani wa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kutatua changamoto ya ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa katika vituo vya afya pamoja na zahanati, ikiwemo zahanati ya Bugarama. Madiwani hao wamesema hayo katika kikao cha baraza…