Uncategorized
June 28, 2023, 2:19 pm
Anaswa kujiunganishia maji kinyemela Kahama
Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) limemkamata Bwana Swamweli Samson mkazi wa mtaa wa Kihulya Nyakato kata ya Nyasubi kwa tuhuma za kuiba maji na kumwagilia bustani.…
July 6, 2021, 9:57 am
USHETU:DC Kiswaga awapa mbinu ya kutoboa kimaisha vijana wanaocheza Pool Table n…
KAHAMA: Mkuu wa wilaya ya kahama, Festo Kiswaga amepiga marufuku tabia ya vijana wasiokuwa kazi maalumu hususani wanaokaa vijiweni na kuendekeza michezo ya kubahatisha maarufu kama betting na pool table na badala yake watakiwa kujiorodhesha kupitia kwa viongozi wao wa…
April 15, 2021, 4:14 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa weledi, habari zinazohusu watu wen…
Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu watu wenye ulemavu ili kupunguza unyanyapaa katika jamii. Hayo yameelezwa leo na mkufunzi ALLY MWADINI akiwa visiwani zanzibar kwenye mafunzo yanayohusu habari za watu wenye ulemavu…