Kahama FM

SHINYANGA

August 25, 2021, 12:37 pm

RC Shinyanga azuia tani 400 za dengu kusafirishwa.

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Dk Phillemon Sengati amezuia zaidi ya tani 400 za dengu zinazodaiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima kwa njia ya ulanguzi zisisafirishwe nje ya mkoa huo. Dk Sengati ameagiza shehena hiyo ambayo ilikuwa imepakiwa kwenye malori tayari…

May 7, 2021, 7:25 pm

MLINZI AMUUA MKEWE AKITUMIA DAWA ZA ARV KWA KUJIFICHA.

Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Peter Elias (29) mlinzi na mkazi wa Ndembezi Mjini Shinyanga kwa kosa la kumuua mke wake Pili Luhende akimtuhumu kutumia Dawa za Kufubaza Makali ya Virusi vya Ukimwi ‘ARV’ kwa kificho.Kwa mujibu wa…