SHINYANGA
September 16, 2021, 11:43 am
Shinyanga: serikali yaunda timu maalumu ya kupitia mfumo wa mauzo ya mazao ya de…
Serikali imeunda Timu Maalumu ya Kupitia Mfumo wa Mauzo kwa mazao ya Jamii ya mikunde ikiwemo Dengu, Choroko, Mbaazi na Ufuta kwa ajili ya kusikiliza na kupokea maoni kwa wadau kuhusu namna bora ya kutekeleza ununuzi wa mazao hayo katika…
August 25, 2021, 12:37 pm
RC Shinyanga azuia tani 400 za dengu kusafirishwa.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Dk Phillemon Sengati amezuia zaidi ya tani 400 za dengu zinazodaiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima kwa njia ya ulanguzi zisisafirishwe nje ya mkoa huo. Dk Sengati ameagiza shehena hiyo ambayo ilikuwa imepakiwa kwenye malori tayari…
August 23, 2021, 7:36 am
TANZIA:Meya wa manispaa ya Shinyanga David Nkulila afariki dunia.
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu. Msiba upo nyumbani kwake mtaa…
August 18, 2021, 9:05 pm
Mkoa wa Shinyanga unaendelea kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama…
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati amesema Serikali ya Mkoa wa Shinyanga inaendelea kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanya mambo yanayoonekana katika jamii ili kuhakikisha kura za uchaguzi zinaenea katika uchaguzi Mkuu ujao. …
July 16, 2021, 7:32 pm
RC SENGATI AKUTANA NA WADAU KUPANGA MIKAKATI YA KUZUIA MAJANGA YA MOTO SHULENI…
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemoni Sengati ameongoza kikao cha wadau kujadili mikakati ya namna ya kudhibiti majanga ya moto yanayotokea katika taasisi na shule mbalimbali. Kikao hicho kimefanyika leo Ijumaa Julai 16,2021 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu…
June 1, 2021, 6:29 pm
ANAYEDAIWA KUWA JAMBAZI AFARIKI BAADA YA KUPIGWA RISASI SHINYANGA MJINI.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Idd Masasi (43) anayedaiwa kuwa ni Jambazi amefariki dunia akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga baada ya kupigwa risasi mguuni na mgongoni…
May 31, 2021, 8:27 am
Rais Samia atengua uteuzi wa Azza Hilal Kuwa Katibu tawala mkoa wa Simiyu.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Azza Hilal Hamad kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu na nafasi yake kuchukuliwa na Prisca Joseph Kayombo ambaye alikuwa Afisa Mkuu wa Utawala na Utumishi katika…
May 29, 2021, 2:11 pm
Waziri Ummy Ameagiza Kusimamishwa Kazi Kwa Wakuu Wa Idara Wanne Kupisha Uchunguz…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Ummy Mwalimu ameagiza kusimamishwa kazi wakuu wa Idara Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kushindwa kusimamia kwa weledi ukamilishaji wa ujenzi wa Machinjio ya kisasa iliyopo Ndembezi…
May 7, 2021, 7:25 pm
MLINZI AMUUA MKEWE AKITUMIA DAWA ZA ARV KWA KUJIFICHA.
Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Peter Elias (29) mlinzi na mkazi wa Ndembezi Mjini Shinyanga kwa kosa la kumuua mke wake Pili Luhende akimtuhumu kutumia Dawa za Kufubaza Makali ya Virusi vya Ukimwi ‘ARV’ kwa kificho.Kwa mujibu wa…