Kahama FM

MAKALA

April 18, 2021, 7:46 pm

Harakati za mwanamke katika kujikwamua kiuchumi.

Nchini Tanzania wanawake wako mstari wa mbele  katika kujikwamua kiuchumi na kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka, hususan kuondokana na dhana ya utegemezi. Miongoni mwa wanawake hao ni bi JANETH mkazi wa Shunu  Manispaa ya Kahama  mkoani Shinyanga ni mama pia…