Kahama FM

KANDA YA ZIWA

May 2, 2021, 2:58 pm

MWANZA:Tucta yapendekeza mshahara uanzie 970,000.

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limewasilisha kilio cha wafanyakazi mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan na kupendekeza kuwa kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa sekta ya umma kiwe Sh. 970,000 ili kumuwezesha mfanyakazi kumudu gharama za…