Kahama FM

KAHAMA

September 13, 2021, 11:14 am

KAHAMA: MLINZI AUAWA KWA KUCHOMWA NA KISU GUEST.

Mlinzi Kampuni ya Ulinzi ya Mast Holding aitwaye STEVEN FELICIAN SAMANDARI (25) ameuawa kwa kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyekuwa amemkamata baada ya kuruka uzio akifuatilia wahudumu wa Bar kwa ajili ya mapenzi Mjini Kahama. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa…

September 11, 2021, 4:32 pm

Mwanamke auawa akituhumiwa kuwa mchawi.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga George Kyando Mwanamke aliyejulikana kwa jina la MWALU CHARLES (45) mkazi wa kijiji cha Shilabela kata ya Ulewe wilayani Kahama mkoani Shinyanga amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali huku…

September 2, 2021, 10:52 am

DC Kahama atoa siku kumi na nne kwa TARURA.

Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetoa Siku 14 kwa meneja wa wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA kufanya tathmini katika barabara za mitaa zilizopo katika manspaa ya Kahama ili ziweze kufanyiwa marekebisho. Agizo hilo limetolewa  leo na Mkuu…