KAHAMA
November 9, 2021, 9:50 am
KAHAMA:Dc amsimamisha kazi Mwenyekiti wa kijiji aliyekataliwa na wananchi.
Wakazi wa kijiji cha Butondolo kata ya Isaka jana, halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho, Mange Shilinde baada ya kubatilisha na kuhamisha ujenzi wa zahanati ya kijiji katika kitongoji cha Seseko bila idhini yao, pamoja na…
November 4, 2021, 4:13 pm
KAHAMA: Zaidi ya Wakulima 320 wamegawiwa mbegu bure za zao la pamba
Zaidi ya Wakulima 320 wa zao la pamba katika kata ya Nyakende Halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani Shinyanga wamepatiwa mbengu bure za zao la pamba zilizotolewa na serikali katika kuwainua wakulima hao katika zao hilo la kibiashara. Akizungumza wakati…
November 4, 2021, 4:06 pm
KAHAMA: halmashauri ya Msalala kupokea zaidi ya shilingi bilioni mbili.
Serikali imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia nne na kumi,kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ikiwa ni fedha za ustawi wa maendeleo ya Taifa na mapambano…
November 4, 2021, 1:49 pm
KAHAMA:Watumishi wa serikali watakaokwamisha ujenzi wa Madarasa kusimamishwa kaz…
Walimu wa kuu shule za sekondari na watendaji wa serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kusimamia vyema fedha za ujenzi wa madarasa zilizotolewa Rais SAMIA SULUHA HASSANI ili madarasa hayo yakamilike kwa wakati na watakaokwamisha watasimamishwa kazi. Agizo hilo limetolewa…
October 31, 2021, 4:38 pm
KAHAMA:RUWASA YAKUTANA NA WADAU WA MAJI NA VYOMBO VYA WATOA HUDUMA ZA MAJI;
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutumia maji yanayotokana na vyanzo vya uhakika vilivyothibitishwa kwa ubora na RUWASA ili yawe salama katika afya zao pamoja na kuwataka viongozi kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji kwa wakati. Hayo yamesemwa na…
October 31, 2021, 4:25 pm
KAHAMA:RUWASA YATAKIWA KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI MBALIMBALI KWA WAKATI.
Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji ili kila mwananchi apate maji pamoja na kuanza ujenzi wa usambazaji wa maji pindi wanapopata fedha za miradi. Agizo…
October 12, 2021, 11:01 am
KAHAMA:Makamu wa Rais wa CODEPATA atembelea ofisi ya Maendeleo ya jamii.
Makamu wa Rais wa Chama Cha Wataalamu wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (CODEPATA) Dr. Regina Malima ametembelea ofisi za Idara ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Kahama wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Katika ziara yake amefanikiwa kufanya kikao na Mratibu wa Kanda…
October 10, 2021, 1:53 pm
Kahama Jogging yajipanga kuwakabili Shinyanga Jogging Jumapili Oct 17.
Kuelekea Mashindano ya Michezo mbalimbali itakayofanyika uwanja wa Manispaa Kahama Jumapili ya October 17 club ya ya mazoezi ya Kahama Jogging imeanza maandalizi ya kuwakabili Club ya Michezo kutoka Shinyanga itwayo Shinyanga Jogging. Akioongea na Kahama Fm mara baada ya…
October 2, 2021, 2:34 pm
Kahama:wakurugenzi kusimamia mabaraza ya wazee.
Serikali mkoani Shinyanga imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote sita kuhakikisha wanasimamia na kuyawezesha mabaraza ya wazee ili yaweze kufanya kazi kikamilifu pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shuguli za wazee. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa…
September 28, 2021, 11:14 am
Kahama:Mwanamke aliyejulikana kwa jina la LIMI KULWA (30) ameuawa kwa kukatwa na…
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la LIMI KULWA (30) mkazi wa kijiji cha Ilunga kata ya Iyenze wilayani Kahama amefariki dunia baada ya kukatwa na panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake, huku Chanzo cha mauaji hayo kikitajwa kuwa…