HABARI KITAIFA
January 14, 2022, 7:32 am
Benki ya CRDB yakanusha taarifa ya Kutoa zawadi Mitandaoni.
Katika siku za hivi karibuni mitandao ya kijamii imetumika kama njia rahisi ya mawasiliano katika jamii. Mitandao hii kuna wakati imekuwa ikitoa taarifa za kweli na kuna wakati imekuwa ikitoa taarifa za uongo zenye lengo la kuwaibia watu au kuzua…
January 1, 2022, 7:27 pm
GEITA:Watoto wa Kituo cha Moyo wa Huruma waomba wasamalia kuwasaidia vifaa vya S…
Watanzania wametakiwa kujitokeza kuwasaidia watoto wenye uhitaji hasa katika vituo vya watoto yatima vilivyopo katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwatia moyo na kuwafanya watoto hao wasijione wakiwa na wapweke katika jamii inayowazunguka. Hayo yamesemwa leo na Msimamizi wa kituo cha…
December 7, 2021, 6:49 pm
DODOMA:Tumieni Teknolojia ya Internet kujikwamua Kiuchumi.
Wanachama wa Mitandao ya kijamii wametakiwa kutumia Teknolojia ya matumizi ya internet kujikwamua kiuchumi hususan katika maeneo ya pembezoni ikiwa ni pamoja na kuimarisha vikundi vya ushirika ili vitambuliwe na serikali na viweze kusaidiwa. Wito umetolewa jana Jijini Dodoma na…
November 22, 2021, 5:56 pm
GEITA: LEAT yawapiga msasa madiwani 52 kuhusu sheria za madini na Utunzaji Mazin…
GEITA Madiwani wa halmshauri ya mji Geita Mkoani Geita wameiomba serikali na wadau wa maendeleo kuwapa elimu ya sheria ya ardhi na madini mara kwa mara ili kuwasaidia kuwa na uelewa kuhusu haki zao za msingi. Madiwani wametoa Wito huo leo mkaoni…
November 1, 2021, 2:07 pm
NUKTA AFRICA:Waandishi wa wa habari za mitandaoni andikeni habari zenye tija.
DAR ES SALAAM Waandishi wa habari za mitandao wametakiwa kuandika habari zenye ubora ikiwa ni pamoja na kutumia takwimu za uhakika ili kutoa taarifa sahihi kwa wasomaji na kuacha tabia ya kuangalia idadi ya wasomaji na watu waliotembelea mitandao yao.…
October 24, 2021, 11:02 am
DODOMA:Job Ndugai azionya Asasi kuacha kutumika kuchafua nchi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amefungua rasmi wiki ya Asasi za kiraia (AZAKI) Jijini Dodoma na kuzionya baadhi ya asasi kuacha kutumika kuchafua nchi.Uzinduzi wa wiki hiyo ya Asasi za kiraia umefanyika katika viwanja…
October 24, 2021, 10:55 am
SIMIYU:Mama adaiwa kuwachinja watoto wake wawili kisha naye kujiua.
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoani Simiyu amedaiwa kuwaua watoto wake wawili kwa kuwachinja na kisu, kisha na yeye kujiua. Akizungumza leo Ijumaa Oktoba 22,2021 na waandishi wa Habari ofisini kwake, Kamanda…
September 28, 2021, 11:59 am
RUKWA:Mbunge awataka wanawake kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wasi…
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Jaqueline Msongozi amewataka wanawake nchini kutokubali kuwa na mahusiano ya kingono na wanaume ambao hawajafanyiwa tohara ili kuondoa hatari ya kupata magonjwa. Ameyasema hayo leo Septemba 27,2021 wakati Kamati ya Bunge ya Masuala…
September 27, 2021, 3:53 pm
SHINYANGA: Fisi aua mtoto wa miaka 3 wakati akicheza na wenzake.
Mtoto aliyejulikana kwa jina la Raphael Juma Dotto mwenye umri wa miaka mitatu amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama Fisi wakati akicheza nyumba ya jirani na watoto wenzake katika mtaa wa Majengo Mapya kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga.…
September 17, 2021, 3:49 pm
SERIKALI:Wafanyabiashara marufuku kuuza majokofu na viyoyozi vya Mtumba.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Seleman Jafo amewataka wafanyabiashara kuacha kuuza Majokofu na Viyoyozi vya mtumba kwani vimeonekana kuleta athari kubwa katika vizazi vijavyo. Amebainisha hayo jijini Dodoma wakati alipokuwa akifanya ziara katika maduka…