Viuatilifu
23 December 2023, 15:21 pm
Vifo vya wajawazito, watoto wachanga bado ni changamoto Mtwara-Makala
Kwa mujibu wa Mganga Mkuu mkoa wa Mtwara, kumekuwepo na ongezeko la vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa kipindi cha miezi mitatu. Na Gregory Millanzi Binadamu tunapitia nyakati tofauti tofauti katika maisha yetu, baadhi ya nyakati tunazopita…
2 November 2023, 18:00 pm
Makala: Huduma ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…
16 August 2023, 15:49 pm
TAKUKURU Mtwara yasaidia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo
Na Musa Mtepa; Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara katika kipindi cha mwezi Aprili -Juni 2023 imefanikiwa kuokoa Miradi ya Maendeleo ambayo awali ilikuwa kwenye mtanziko wa ukamilishaji kutokana dosari za Wazabuni katika utekelezaji wake. Akizungumza…
3 June 2023, 14:50 pm
Kipindi: Fahamu ulemavu aina ya mguu kifundo au unyayo uliopinda
Siku ya mguu kifundo au unyayo uliopinda inaadhimishwa leo Juni 3, 2023 katika wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Jamii FM Radio kwa kushirikiana na Hospital ya Rufaa Kanda ya Kusini (SZRH) tumetoa elimu kwa jamii juu ya aina hii ya…
8 April 2023, 13:28 pm
Makala: Fahamu namna dawa za kulevya zinavyomuathiri mtoto tumboni
Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama mwenyewe na kwenye mfumo wake wa uzazi na kupelekea mtoto kuathirika moja kwa moja kama ambavyo mama anaathirika kwa dawa hizo, na kupelekea mtoto kuwa na uraibu na wakati mwingine husababisha…
28 March 2023, 16:26 pm
Kipindi: Wanawake wahamasishwa kupima saratani ya mlango wa kizazi
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
16 March 2023, 14:43 pm
Manispaa ya Mtwara yaanza kutoa chanjo ya Surua na Rubella
Na Gregory Millanzi. Kutokana na uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa Surua na Rubella wataalamu wa afya kupitia kitengo cha afya kinga Manispaa ya Mtwara-Mikindani wameendelea kutoa huduma ya chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto wenye umri chini ya…
31 January 2023, 12:06 pm
Mama mjamzito akitumia dawa za kulevya zinamuathiri mtoto kuanzia tumboni
Mama mjamzito anayetumia madawa ya kulevya ana kiwango kikubwa cha kumuathiri mtoto akiwa tumboni, na wengi wao wanapoteza maisha wakati wa kujifungua. Na Gregory Millanzi Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama kwenye mfumo wake wa uzazi na…
30 January 2023, 12:37 pm
Ufahamu wa chanjo ya Corona waongeza idadi ya watu kuchanja
Picha ya Chanjo ya UVIKO 19
19 December 2022, 11:45 am
Kipindi: Fahamu njia za kuwafundisha watoto wenye Usonji
Na Ramla Masali Makala haya yanazungumzia namna bora ya kuwafundisha watoto wenye Usonji. Sikiliza makala haya