Mwanamke
1 April 2024, 15:19 pm
Wanaume kikwazo kwa wanawake kuwa viongozi – Makala
“Changamoto hizo ni kwa baadhi ya wanaume wenye tabia ya kuwakataza wake zao kushiriki masuala ya uongozi” Na Musa Mtepa Ni kipindi kinachoelezea changamoto zinazosababisha wanawake kutoshiriki kwa asilimia kubwa kwenye nafasi za kisiasa na uongozi . Kupitia kipindi hii…
27 March 2024, 17:00 pm
Mila, desturi kikwazo wanawake kushiriki nafasi za uongozi Mtwara
Mila na desturi potofu zimekuwa zikiwarudisha nyuma wanawake wengi wilayani Mtwara kushiriki katika nafasi za uongozi na uamuzi na kupelekea kuwa wachache katika ushiriki kwenye vikao vya uamuzi. Na Musa Mtepa Imeelezwa kuwa mila na desturi zinazofanyika katika jamii ndicho…
12 February 2024, 15:07 pm
Umuhimu wa kutunza mazingira kwa kutumia upandaji maua-Kipindi
Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…
5 February 2024, 14:08 pm
Fahamu manufaa ya uwepo wa shughuli za Gesi Kijiji cha madimba katika Miradi ya…
Kwa mujibu wa SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kiwango cha uchakataji wa gesi asilia kwa miaka nane katika kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha Madimba kimeongezeka kutoka futi za ujazo milioni 20 mwaka 2015 hadi kufikia futi za…
23 December 2023, 15:21 pm
Vifo vya wajawazito, watoto wachanga bado ni changamoto Mtwara-Makala
Kwa mujibu wa Mganga Mkuu mkoa wa Mtwara, kumekuwepo na ongezeko la vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa kipindi cha miezi mitatu. Na Gregory Millanzi Binadamu tunapitia nyakati tofauti tofauti katika maisha yetu, baadhi ya nyakati tunazopita…
8 December 2023, 10:38 am
Makala: Hali ya malezi na Makuzi ya watoto chini ya umri wa miaka 8
Baba na Mama tunaamini ndio wanaoanzisha safari ya maisha ya binadamu hapa duniani, na hapa nazungumzia jukukumu la mama kubeba mimba na baba kubeba jukumu la kulea na kuhudumia mimba Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Maisha ya binadamu yanasafari…
2 November 2023, 18:00 pm
Makala: Huduma ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…
31 October 2023, 12:53 pm
Makala – Sera ya ushiriki wa wazawa wa manispaa ya Lindi kuelekea kunufaik…
Na Musa Mtepa Katika makala haya tunaangazia nafasi ya ushiriki wazawa hasa vijana wa Manispaa ya mkoa wa Lindi kuelekea kunufaika na fursa ujenzi wa kiwanda cha uziduaji na uchakataji wa Gesi cha LNG mkoani Lindi. kusikiliza makala haya Bonyeza…
31 October 2023, 11:43 am
Makala – Vijana wamejiandaaje na Fursa za uwepo wa wa Gesi Mikoa ya Kusini
Na Musa Mtepa Kipindi kinazungumzia uwepo wa shughuli za uzalishaji Gesi katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara, je Vijana wamejiandaaje kukabiliana na fursa hiyo. Kupitia kipindi hiki tumezungumza na Victor Kaiza mkufunzi wa chuo cha Elimu ya mafunzo ya…
28 October 2023, 13:56 pm
Makala – Matumizi ya mkaa wa karatasi
Na Musa Mtepa; Makala haya yanaeleza namna ambavyo kikundi hiki kimeamua kujikita katika kuandaaa mkaa unaotokana na mabox pamoja na karatasi. Katika makala haya utawasikia wanakikundi cha Tumalane, Utamaduni na Mazingira maarufu kama TUMA kinachopatikana katika kijiji cha Msangamkuu halmashauri…