Elimu
24 April 2024, 19:42 pm
CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini
Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…
23 April 2024, 16:58 pm
RC Mtwara akabidhi vifaa vya TEHAMA kwa walimu
Vifaa hivi vitasaidia walimu kupakua na kujiongezea maarifa kupitia mtandao ambayo yatasaidia katika kuboresha hali ya ufaulu katika shule zetu Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala Leo tarehe 23/4/ 2024 amekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa…
18 April 2024, 21:57 pm
Jamii yatakiwa kufahamu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji
Shughuli zinazofanywa karibu na vyanzo vya maji zimekuwa zikihatarisha uwepo wake huku mamlaka zikiombwa kuendelea kutoa elimu ya athari hasi na umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Na Msafiri Kipila Mammlaka zinazo simamia vyanzo vya maji zimeombwa kutoa Elimu…
16 April 2024, 08:55 am
Wazazi kikwazo watoto kumaliza elimu ya msingi Mtwara DC
Wazazi wengi wamekuwa wakiweka nguvu kubwa kwenye mila ya Jando na unyango kuliko Elimu Na Musa Mtepa Inaelezwa kuwa Wazazi kutotambua umuhimu wa Elimu ndio chanzo cha Watoto wengi kutomaliza Elimu ya Msingi katika Halmashauri ya Mtwara Vijijini. Wakizungumza na…
1 April 2024, 18:19 pm
Wazazi watakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike
Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachosababisha watoto wa kike kutokufikia malengo yao ni wazazi kutotambua umuhimu wa elimu. Na Musa Mtepa Wazazi wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wa kike ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha pamoja na kuwa majasiri…
29 March 2024, 17:46 pm
TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na matumizi mabaya ya Mazao ya Misitu Na Musa Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…
17 February 2022, 23:46 pm
SDA yapaza sauti juu ya unyanyasaji wa kijinsia
Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi wa kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa…
4 December 2021, 23:15 pm
Mkuchika Awataka wazazi kuchangamkia fursa ya elimu
“Hali ya Elimu kwa Wilaya ya Newala hasa kwa Kidato cha sita tumekuwa Tukifanya vizuri kwa muda sasa, kwa matokeo ya Kidato cha sita Shule ya Kiuta ambayo ina Wasichana pekee yake kwa kidato cha tano na sita na shule…
16 April 2021, 07:39 am
Mwenyekiti awasaka wanafunzi majumbani
Mwenyekiti wa mtaa wa Geza ulole kata ya Majengo Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara Ndugu Jafari Likulangu Amekuwa na utaratibu wa kupita nyumba hadi nyumba kufuatilia mwenendo wa masomo kwa wanafunzi wa mtaa wake kwa kukagua daftari zao. Mwenyekiti…
25 February 2021, 06:35 am
Wataalamu wa Elimu wafanya ufuatiliaji Mtwara Vijijini
Timu ya wataalamu ikiongozwa na Afisa elimu Msingi Mwl. Adam Shemnga Jana Tarehe 24 Februari, 2020 wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa maendeleo ya kitaaluma katika Shule kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye Sekta hiyo Mtwara Vijijini. Ukaguzi huo umelenga kufuatilia…