Jamii FM

Elimu

24 April 2024, 19:42 pm

CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini

Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…

23 April 2024, 16:58 pm

RC Mtwara akabidhi vifaa vya TEHAMA kwa walimu

Vifaa hivi vitasaidia walimu kupakua na kujiongezea maarifa kupitia mtandao ambayo yatasaidia katika kuboresha hali ya ufaulu katika shule zetu Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala  Leo tarehe 23/4/ 2024 amekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa…

18 April 2024, 21:57 pm

Jamii yatakiwa kufahamu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji

Shughuli zinazofanywa karibu na vyanzo vya maji zimekuwa zikihatarisha uwepo wake huku mamlaka zikiombwa kuendelea kutoa elimu ya athari hasi na umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Na Msafiri Kipila Mammlaka zinazo simamia vyanzo vya maji zimeombwa kutoa Elimu…

1 April 2024, 18:19 pm

Wazazi watakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike

Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachosababisha watoto wa kike kutokufikia malengo  yao  ni wazazi kutotambua umuhimu wa elimu. Na Musa Mtepa Wazazi wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wa kike  ili waweze kukabiliana na changamoto  za maisha pamoja na kuwa  majasiri…

29 March 2024, 17:46 pm

TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa  kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi  ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na  matumizi mabaya  ya Mazao ya Misitu Na  Musa  Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…

17 February 2022, 23:46 pm

SDA yapaza sauti juu ya unyanyasaji wa kijinsia

Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi  wa  kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika  ukumbi wa…

4 December 2021, 23:15 pm

Mkuchika Awataka wazazi kuchangamkia fursa ya elimu

“Hali ya Elimu kwa Wilaya ya Newala hasa kwa Kidato cha sita tumekuwa Tukifanya vizuri kwa muda sasa, kwa matokeo ya Kidato cha sita Shule ya Kiuta ambayo ina Wasichana pekee yake kwa kidato cha tano na sita na shule…

16 April 2021, 07:39 am

Mwenyekiti awasaka wanafunzi majumbani

Mwenyekiti wa mtaa wa Geza ulole kata ya Majengo Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara Ndugu Jafari Likulangu Amekuwa na utaratibu wa kupita nyumba hadi nyumba kufuatilia mwenendo wa masomo kwa wanafunzi wa mtaa wake kwa kukagua daftari zao. Mwenyekiti…

25 February 2021, 06:35 am

Wataalamu wa Elimu wafanya ufuatiliaji Mtwara Vijijini

Timu ya wataalamu ikiongozwa na Afisa elimu Msingi Mwl. Adam Shemnga Jana Tarehe 24 Februari, 2020 wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa maendeleo ya kitaaluma katika Shule kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye Sekta hiyo Mtwara Vijijini. Ukaguzi huo umelenga kufuatilia…