News
16 April 2024, 08:55 am
Wazazi kikwazo watoto kumaliza elimu ya msingi Mtwara DC
Wazazi wengi wamekuwa wakiweka nguvu kubwa kwenye mila ya Jando na unyango kuliko Elimu Na Musa Mtepa Inaelezwa kuwa Wazazi kutotambua umuhimu wa Elimu ndio chanzo cha Watoto wengi kutomaliza Elimu ya Msingi katika Halmashauri ya Mtwara Vijijini. Wakizungumza na…
10 April 2024, 13:52 pm
Waislam watakiwa kuishi maisha yanayompendeza Mwenyezi Mungu
Kumewa na kutozingatia matukufu na makatazo ya Mwenyezimungu ambayo huenda ikawa sababu ya kuwepo kwa ugumu wa Maisha kutokana na Binadamu kutozingatia maagizo yake Na Musa Mtepa Waislam wametakiwa kuendelea kuishi Katika Maisha walivyoishi kwenye Mwezi mtukufu wa Radhamani ili…
29 March 2024, 17:46 pm
TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na matumizi mabaya ya Mazao ya Misitu Na Musa Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…
25 March 2024, 14:54 pm
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali umiliki wa Gesi Asilia
Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma imeipongeza serikali kwa kuchukua hatua ya kuwasomesha vijana wa kitanzania nje ya nchi ambao kwasasa ndio wanao simamia mitambo ya kuchakata na kuzalisha Gesi Asilia katika kjiji cha Madimba…
19 March 2024, 15:55 pm
Athari ya mabadiliko ya tabia nchi yanavyoathiri upatikanaji wa samaki
“Ongezeko la joto Baharini na uwingi wa maji ya mvua kutoka Kwenye mito mbalimbali kumechangia kwa kiasi kikubwa kupungua upatikanaji wa Samaki “ Na Musa Mtepa Baadhi ya Wavuvi wa wanaofanya shughuli za uvuvi katika ukanda wa Bahari na Pwani…
12 February 2022, 19:37 pm
Maadhimisho ya siku ya redio duniani
Na Amua Rushita. Waandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia kupitia Mradi wa Sauti mpya, wamekutana katika kuadhimisha siku ya redio duniani kwa kuwa na majadala juu ya siku hii inayoadhimishwa kidunia, karibu usikilize kipindi maalumu kutoka hap mkoani…
8 January 2022, 14:05 pm
Meli Kubwa yatia Nanga Bandari ya Mtwara kubeba Makaa ya Mawe
“Meli kubwa ya Star fighter ambayo itaondoka na tani elfu 59 za makaa yam awe, Sisi tumefurahi sana ujio wake, na uzito unaoondoka hapa kwa upande ule wa gati ya zamani tusingeweza kuipaki kwa tani elfu 59, uboreshaji na ujenzi…
14 August 2021, 16:22 pm
Polisi yamkamata “anayetuhumiwa” kuteka watoto Mtwara
Na Gregory Millanzi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata mtuhumiwa Jabiri Bakari (19) kwa tuhuma za uhalifu wa utekaji, ubakaji na kulawiti watoto baada ya kuwalaghai kwa njia mbalimbali na kufanikiwa kuondoka nao kwenda kwenye maeneo na kunzisha makazi…
31 July 2021, 15:18 pm
Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki
Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…
20 May 2021, 19:12 pm
Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti
Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…