Mtwara news
22 April 2024, 16:30 pm
Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…
10 April 2024, 23:17 pm
RPC Mtwara: Zingatieni sheria za usalama barabarani
kKuvaa kofia ngumu kwa mwendesha wa pikiki ni suala la kisheria hivyo ni wajibu kwa maafisa usafirishaji (Bodaboda) wote mkoani Mtwara na abiria wake kuzingatia sheria hiyo. Na Musa Mtepa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Kamishna Mwandamizi…
6 April 2024, 20:58 pm
RC Kanali Sawala aitaka jamii ya Mtwara kuliombea Amani Taifa
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Patrick Sawala akitoa neno la shukrani kwa hadhira iliyojitokeza kufuturu hapo jana(Picha na Mtwara rs) Binadamu hakuna aliyekamilika mmoja anaweza kumkosea mwingine kwa bahati mbaya bila kutambua hivyo tuendelee kusameheana Na Musa Mtepa Mkuu…
5 March 2022, 17:00 pm
RC Gaguti: Wanamtwara tujitokeze kesho kwenye uwanja wa Mashujaa
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Brig. Jen. Marco Gaguti kwa kushirikiana na taasisi ya “Bega kwa Bega na Mama” imewaomba wanamtwara kujitokeza kwa wingi siku ya kesho tarehe 06/03/2022 katika kusherehekea mwaka mmoja kwa serikali ya awamu ya sita…
11 January 2022, 16:49 pm
Manispaa ya Mtwara Mkindani yapitisha Rasimu ya Bajeti ya TARURA zaidi ya shilin…
Hali ya Barabara zinazosimaniwa na TARURA ni ya kuridhisha, japo mtandao wa barabara kwa asilimia kubwa ni barabara za udongo ambazo huathiriwa kwa kiasi kikubwa kipindi cha mvua. Mhandisi Hatibu Nunu Na Gregory Millanzi Baraza la Madiwani la Halmashauri ya…
25 November 2021, 11:37 am
Tume ya Haki za Binadamu watoa elimu
“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…
9 July 2021, 16:30 pm
VIKUNDI 52 KUKOPESHWA MILIONI 205 MTWARA
Na Karim Faida. Jumla ya vikundi 52 kutoka Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, wamepewa mkopo wenye thamani ya Tsh 205,047,000. Hayo yametanabaishwa na Afisa maendeleo ya jamii manispaa ya Mtwara mikindani mkoani hapa Bi Juliana Manyama jana katika hafla…
3 May 2021, 12:40 pm
Viongozi, wapeni ushirikiano waandishi wa habari
Na Karim Faida Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamekuwa wakikosa ushirikiano kutoka kwa baadhi ya viongozi wa serikali pale wanapohitaji Kuweka mizania ya habari zao huku sababu ikiwa ni kuhofia kupoteza nafasi zao za kazi. Hayo yamesemwa leo katika…
8 April 2021, 19:35 pm
Wananchi hameni
Wananchi waishio Kando ya bwawa la Kijiji Cha Msakala, kata ya Ziwani Mtwara Vijijini Jana Tarehe 07 Aprili, 2021 wametakiwa kuondoka mara Moja kuepuka kadhia ya kuharibiwa Makazi yao pindi bwawa linapojaa. Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Wilaya ya…
8 April 2021, 17:32 pm
Kizito aibuka mshindi uchaguzi TCCIA
Kizito Garnoma ameibuka mshindi kwa nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara, kilimo na Viwanda TCCIA mkoa wa Mtwara kwa miaka minne ijayo. Kizito amechaguliwa kushika wadhifa huo leo katika ukumbi wa Tiffany Diamond Mtwara huku akishinda kwa kura 45…