Huheso FM
ELIMIU
January 9, 2022, 5:20 pm
Viongozi wa Serikali za Mitaa wapewa maagizo kwenye sekta ya elimu
Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba amewataka viongozi wa serikali za mitaa kuhakikisha wanasimamia zoezi la uandikishaji wa wanafunzi wanaotarajia kuanza Elimu ya msingi. Ameyasema hayo kwenye kikao cha wenyeviti wa serikali za mitaa Manispaa ya Kahama ambapo…