Podcasts

28 July 2023, 5:07 pm

Fahamu shughuli zinazofanyika bwawa la Hombolo

Je bwawa hili linawanufaisha vipi wakazi wa Hombolo hususani katika shughuli mbalimbali kama kilimo na uvuvi? Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo limekuwa likitumika na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya uvuvi wa samaki aina ya perege na wengine…

28 July 2023, 3:50 pm

Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo

Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda  bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…

28 July 2023, 2:41 pm

Bodi mpya yatakiwa kusimamia kanuni, taratibu

Pia amesema wana jukumu la kuishauri wizara kujua ni namna gani Wakala wa Vipimo iboreshe utendaji kazi wake. Na Seleman Kodima. Waziri wa Viwanda na Bashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji  amewataka wajumbe  wapya wa bodi ya sita ya ushauri ya…

25 July 2023, 5:01 pm

Nini siri ya kilimo cha mpunga wilayani Bahi?

Wakulima wa eneo hilo wanadai kuwa hawapendelei kutumia mbolea katika kilimo cha mpunga. Na Yussuph Hassan. Licha ya watu wengi kuamini kuwa mkoa wa Dodoma ni eneo kame lakini eneo hili linafaa pia kwa kilimo. Wakazi wa wialaya ya Bahi…

July 25, 2023, 1:59 pm

John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali

Mwanaume  huyu anayejulikana kwa jina la  John Gabriel  Mandale mkazi wa kata  ya Shunu  wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia  matatizo makubwa baada ya  kupata ajali  na kupasuka  kichwa   alipokuwa akitekeleza  majukumu yake ya kikazi huko  mkoani Geita Mgodini  hali…

24 July 2023, 5:27 pm

Historia kuanzishwa mashamba ya mpunga wilayani Bahi

Je, kipi kilichangia msukumo wa kuanzishwa kwa mashamba ya mpunga wilayani Bahi? Na Yussuph Hassan Tunaendelea kuitazama historia ya wilaya ya Bahi iliyopo mkoani Dodoma na leo tunaangalia historia ya kuanzishwa kwa mashamba ya mpunga wilayani humo.

21 July 2023, 5:25 pm

Historia ya kilimo cha mpunga wilayani Bahi

Msimuliaji wetu anaendelea kutufahamisha kuanzishwa kwa mashamba haya na lini yalianzishwa. Na Yussuph Hassan. Tunaendelea kuangazia  historia ya wilaya ya Bahi na leo tutafahamu historia ya mashamba ya mpinga katika wilaya hii.

21 July 2023, 4:48 pm

Kaizer Chiefs kucheza na Yanga kesho

Karibu upate habari za michezo kutoka hapa Nchi Tanzani zikisimuliwa kwako na mwana michezo wetu Rabiamen Shoo. Na Rabiamen Shoo. Kikosi cha Kaizer chiefs ‘Amakhosi’ kimetua Tanzania kwa ajili ya Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Yanga kwenye Kilele cha Wiki…

20 July 2023, 5:06 pm

Ifahamu maana halisi ya jina Bahi

Kila jina huwa na maana au asili je jina Bahi lina maana gani na asili yake ni nini? Na Yussuph Hassan. Wilaya ya Bahi ni mojawapo kati ya wilaya saba za mkoa wa Dodoma. Wilaya hii ilianzishwa rasmi mwaka 2007…