zahanati
12 April 2022, 3:27 pm
Zahanati ya Kisokwe kukamilika punde
Na;Mindi Joseph. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imefanikiwa kupeleka Million 50 za kukamilisha ujenzi wa zahanati ya kisokwe wilayani humo. Taswira ya habari imezungumza na Diwani wa kata ya mazae Mwl Willium Madae amesema pesa hizo zitachangia Ujenzi wa zahanati…
24 June 2021, 8:15 am
Serikali yaombwa kutatua changamoto ya watumishi wa zahanati
Na; Victor chigwada Wananchi wa mtaa wa Chololo Kata ya Kikombo jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa watumishi kwenye zahanati na Shule ya msingi.Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema pamoja na kupaza sauti…
21 May 2021, 1:27 pm
Changamoto ya zahanati chamwino wanawake kujifungulia njiani
Na; Benard Filbert Ukosefu wa huduma ya Zahanati katika Kijiji cha Chitabuli Wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wananchi hivyo kusababisha wajawazito kujifungulia njiani. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu…