Dodoma FM
wizara za maji
6 July 2021, 12:15 pm
Watumishi wa wizara za maji na mamlaka zake watakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wat…
Na; Pius Jayunga. Waziri wa maji Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Wizara ya maji na mamlaka zake kuwa na lugha nzuri kwa wateja wao ili kuchochea utoaji wa huduma bora za maji kwa wananchi maeneo mbalimbali Nchini. Kauli hiyo ameitoa…